Recent content by Wanjilo

  1. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

    Ukiwa na shughuri ya ndoa mambo mengi Sana walengwa ukutana nayo na hapo bado changamoto zitakuja nyingi Sana ambazo unaweza ukajiuliza maswali mengi Sana na ukakufuru apo binadamu Hana nafasi katika ushauri dili na Mungu tu funga hata siku tatu mwambie Mungu Kama huyu mwanaume ni wangu nipe...
  2. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Dunia inamambo mengi mkuu
  3. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi huwa ni utamu kweli?

    Raha ya mapenzi aipate anaye sikia ukute wew ndo ulihis utamu kuliko wenzio maisha yanaenda kwa kas Sana,tutafute pesa tu
  4. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Ni yakweli kabisa mkuu yaani hvi viumbe ni balaa
  5. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Yaani acha tu sema ni mtu wa imani Sana si unajua ndoa za kanisani zilivyo ngumu kutoka uenda aliona afanye uchunguzi wa uhakika
  6. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Yes mkuu,.
  7. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Glory to yhwh, part 2 yake waliachana baadae Festo kaoa mke mwingine na anamtoto pia lkn pendo yupoyupo tu hata yule aliyekuwa anampenda alimkimbia kwa kusikia alichokifanya maana alimuaga anaenda kusalimia wazazi kumbe anaenda kuolewa ko mwanaume aliona Bora ajitoe kwake aliona kama ni binadamu...
  8. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Tanmo,anawadogo zake na dada zake pia Sena Festo ni mtu mmoja watofauti sana
  9. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Lkn kakosa yote aliyempenda kamkimbia
  10. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Wakibisi,nikumuomba Mungu Sana binadamu cyo wema
  11. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Modrizzy, na Kama yupo humu lazima ashtuke maana sijakosea hata kidogo
  12. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Mhandisi mzalendo,Hilo nalo neno unachek kwanz mambo mengine baadae
  13. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Imiles45,pendo amekuwa Kama shetani
  14. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Hadi Leo hakuna anayejua kwa Nini alitumia mda mrefu kufunguka kwa yanayo msibu pengine alikuwa anataka ushaid ulioshiba si unajuwa ndoa za kanisani kutengana ni kazi sana
  15. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza ukadhani una changamoto lakini kuna wenzio zimezidi

    Kalpana dunia hii
Back
Top Bottom