Habarini wakuu!poleni na kazi nzito tuliyonayo ktk kuilemisha na kuijuza jamii hususan ktk suala zima la elimu natumaini bado hamjachoka nami naomba kujuzwa kuhusu vyeti(attachments) ktk loan application to HESLB, ni vyet gani vinahtajika(kwa mhitimu wa kidato cha 6)?
Unaonekana umesoma au unasoma PCM! unaonekana mjinga bado unajiita jenius,ok! nikufundishe tafsiri ya jenius ni mtu mwenye uwezo wa kuelewa kwa urahisi no matter anasoma nini! suala la memory linahitajika sana kwa PCB na mambo ni mengi sana ukijipretend jenius kwa kutotumia mda mwingi katika...
Dogo acha ufinyu wa mawazo!urahisi wa mchepuo ni kwa mtu husika ninasoma PCB lakini mambo kawaida. Kama unapenda unachokisoma na una uwezo wake hakuna tabu. NB:hata HKL inaweza kumpa mtu fulani shida kuliko PCB au PCM!
waliofail hawaulizii selection halafu unaonekana mgumu wa kuelewa, uamuzi wa serikali kufuta matokeo SABABU zilielezwa.je, Ilikuwa ni kuwaonea huruma?je, We naye ni great thinker?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.