Mpeleke mahakamani basi.
. ndo maana narudia hili kwa mantiki kubishana na mtu aliyetoroka milembe ni kazi sana. Rember hiyo ni acc. tu leo naweza change nikafungua leo nyingine nikaitumia. Lakini si ajabu wewe na mimi aliyeanza kuijua na kujoin jf ni mimi.. tofautisha acc.. ya jf na mchangiaji...
Olenaiko ni sawa kama unabishana na watu walitoroka milembe.. utapoteza muda wako bure nadhani ulimsikiliza PM lakini pia hakuna takukuru wala cag hapa hawana hoja za mashiko za kuhukumu.. wengine hapo wshakula ela za watu utaumiza kichwa bure kumfafanulia kitu alichopanga kutokielewa.. waambie...
PINDA NI MUHANGA WA VITA YA URAIS.
*Kashfa ya sukari - MAJIBU.
Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya uzushi ambayo imesambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kwenye baadhi ya magazeti yenye kichwa cha habari "KASHFA YA SUKARI *Pinda ndani, * Masaburi amvaa Kinana"
Katika habari hiyo, inatajwa...
PINDA NI MUHANGA WA VITA YA URAIS.
*Kashfa ya sukari - MAJIBU.
Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya uzushi ambayo imesambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kwenye baadhi ya magazeti yenye kichwa cha habari "KASHFA YA SUKARI *Pinda ndani, * Masaburi amvaa Kinana"
Katika habari hiyo, inatajwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.