Recent content by Wabeba Lawama

  1. W

    Ufisadi wa Pinda Vibali vya Sukari na Umeme wa Kinyerezi

    Kumbe? karibu uraiani tupe habari za milembe. Au ndo hizi unazoleta hapa.
  2. W

    Ufisadi wa Pinda Vibali vya Sukari na Umeme wa Kinyerezi

    Mpeleke mahakamani basi. . ndo maana narudia hili kwa mantiki kubishana na mtu aliyetoroka milembe ni kazi sana. Rember hiyo ni acc. tu leo naweza change nikafungua leo nyingine nikaitumia. Lakini si ajabu wewe na mimi aliyeanza kuijua na kujoin jf ni mimi.. tofautisha acc.. ya jf na mchangiaji...
  3. W

    Ufisadi wa Pinda Vibali vya Sukari na Umeme wa Kinyerezi

    Olenaiko ni sawa kama unabishana na watu walitoroka milembe.. utapoteza muda wako bure nadhani ulimsikiliza PM lakini pia hakuna takukuru wala cag hapa hawana hoja za mashiko za kuhukumu.. wengine hapo wshakula ela za watu utaumiza kichwa bure kumfafanulia kitu alichopanga kutokielewa.. waambie...
  4. W

    Askofu Gwajima amtetea Lowassa

    PINDA NI MUHANGA WA VITA YA URAIS. *Kashfa ya sukari - MAJIBU. Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya uzushi ambayo imesambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kwenye baadhi ya magazeti yenye kichwa cha habari "KASHFA YA SUKARI *Pinda ndani, * Masaburi amvaa Kinana" Katika habari hiyo, inatajwa...
  5. W

    Pinda Kanikosha,Kama Atatekeleza Aliyoahidi Namuunga Mkono

    PINDA NI MUHANGA WA VITA YA URAIS. *Kashfa ya sukari - MAJIBU. Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya uzushi ambayo imesambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kwenye baadhi ya magazeti yenye kichwa cha habari "KASHFA YA SUKARI *Pinda ndani, * Masaburi amvaa Kinana" Katika habari hiyo, inatajwa...
Back
Top Bottom