Nimeleta uzi kwa wanaomiliki brevis tu ila watu wanaochangia mada ni kukosoa tu ndiyo kazi yao sasa naishia hapa maana siwezi kubishana na wajinga maana wajinga ni wengi wenye akili ni wachache, brevis ni gari nzuri sana kwa safari ndefu kama una uwezo wa kuweka mafuta na ni gari imetulia kabisa...
Mimi yangu siuzi chuma tam sana kwa safari ndefu yaani imetulia sana na huwa nafika mapema wanaozikosoa ni chuki tu ukiwa na uwezo wa kuweka mafuta brevis ni gari nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.