Recent content by Vontec

  1. Vontec

    Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga

    Duh! Hasira zote izi zimesababishwa na Namungo! Mkubwaaa Jifunzeni kushinda mechi zenu, sio mnadroo na kudondoshaa point hasira mnazimalizia kwa wengine.
  2. Vontec

    Uzi maalumu wa kutaja wachambuzi makini wenye weledi wa soka na vituo vyao wanavyofanya kazi ili tukawasikilize

    RAMADHAN MWADUKE RAMADHAN MWADUKE RAMADHAN MWADUKE RAMADHAN MWADUKE RAMADHAN MWADUKE Uchambuzi wa Jamaa ni balaa, No blaablaa full of statistics na mbinu timu, makocha nk. Wanazotumia YouTube Channel: Data Sports Tv
  3. Vontec

    Tusizuge wana Yanga SC wengi ( 99% ) hawana Furaha na Matokeo ya Marudiano leo

    Bila shaka hasira za huyu mleta mada ni kuchaniwa mkeka [emoji28][emoji28][emoji28]. Muhimu kwa Yanga ilikua ni kucheza kwa kumuheshimu mpinzani, kulinda Ushindi, na kufuzu nusu fainali
  4. Vontec

    Goli 2 za Shirikisho ni sawa na offtarget 1 ya Championship

    Akijibu tushtuane. CC. OKW BOBAN SUNZU
  5. Vontec

    Goli 2 za Shirikisho ni sawa na offtarget 1 ya Championship

    Vipi kuhusu kuchoma uwanja Shirikisho, ni sawa na nini Championship?
  6. Vontec

    Mzamiru Yassin Kiungo Punda ndio mido mzawa bora kwa sasa

    MVP Yanick Bangala
  7. Vontec

    Mzamiru Yassin Kiungo Punda ndio mido mzawa bora kwa sasa

    MVP Yanick Bangala
  8. Vontec

    Hizi ndiyo mechi zitakazo mfukuza kocha wa simba (Robertinho) na mikoba atairithi mgunda

    Duh! Wakimfukuza basi watakua hawapo organized kabisa and unprofessional! Kaja katikati ya Msimu, Hana wachezaji chaguo lake so anaitaji muda kusuka Kikosi chaguo lake.
  9. Vontec

    FT: Young Africans SC 5-0 Kagera Sugar | Ligi Kuu Bara | Azam Complex | 11-04-2023

    Duh! Tujitaidini kuwa na Subira jamanii.
  10. Vontec

    Tumechoka kumuona Baleke akifunga sana tunamwomba na Musonda nae afunge mara kwa mara

    Musonda anatokea pembeni, Baleke anacheza kati. #Case Closed
  11. Vontec

    Tunaomba jina la kiongozi wa Simba SC aliyeshawishi usajili wa Sawadogo atupe maelezo

    Kwanini TP Mazembe walimuachia Jamaa?
  12. Vontec

    Jana Ihefu FC kaingia katika Mfumo Kakoga 5 mnadai Kahongwa je, nawe zile 6, 5 na 4 nyingi nyingi Ulizopigwa Ulihongwa?

    Wanauliza kwanini Magoli yote kipindi Cha kwanza yametokana na kipa & mabeki wake kujichanganya, kuteleza ktk boxi lao. Wanauliza tuh huku.
  13. Vontec

    Takwimu: Baleke vs Musonda

    Huku wanasema Baleke Mechi zidi ya Mtibwa - 3 Ihefu - 3 6 Goals Kakutana na timu ambazo Ihefu walikua wanajikanyaga kanyaga na kudondoka hovyoo karibu na box lao na ivyo kupoteaa possession kirahisi, jamaa akawa anatengewa tuh kiulaini. Na Mtibwa hawakua mchezoni siku io Wanasema eti mechi...
  14. Vontec

    Kama kweli viongozi Simba mmetuma maombi TFF wasogeze mbele mechi dhidi ya Yanga mnatuaibisha

    Acheni waombe ili siku wanakutana na Yanga kashatwaa ubingwa wampigie Guard of Honor.
Back
Top Bottom