Mara nyingi Bacca anakosa usaidizi kutokea nafasi ya kushoto
Either inapigwa counter inabidi aende kucover nafasi ya dogo muda huoyupo mbele kwenye nafasi za kina Maxi. Rejea goli la kwanza zidi ya Al hilal.
Au Bacca ukosa wa kucheza nae kwa kutoa pasi upande wa kushoto dogo muda huo tayari...
Nimekuwekea na ushaidi wa video, ushindwe wewe kuchambua, upande wa kushoto unavuja mno.
Viongozi wanapaswa kufanya jambo immediately.
Kimataifaa counter utumika sana, dogo anatu expose sana kwenye nafasi yake pale ambapo tunapokonywa mpira ghafla.
Kupanda panda kwakwe ovyo, husababisha nafasi yake kuwa exposed wengine wakienda ku cover nafasi yake upelekea either kufanya makosa ambayo uleta izo set pieces.
Goli la kwanza vs Al Hilal limetokea upande huo wa dogo
https://youtu.be/MAZIxeyyy1Y?si=_8wsiSzVHvqvHWLz
Goli zote zidi ya Mc Alger zimetokeaa upande huohuo wa dogo
https://youtu.be/5dNDRTi_xl4?si=06gFHpKjQEe3-0c3
Goli la TP Mazembe, upande huohuo wa dogo...
Mechi ya Jana ile Dk ya 2 bila busara za lefa TP Mazembe walikua wanapata bao la mapema.
Maana Bacca kapewa pasi, upande wa kushoto option ya kutoa pasi ikawa haipo maana dogo alikua kashapanda mbele, Bacca akabaki na kigugumizi apeleke wapi mpira, Akapokonywa kilichosaidia ni alionekana...
No wonder hata kiwango cha Max or Midfielders kukosa balance ni kutokana na upande wa beki wa kushoto kua ovyoo, sometimes ufanya midfielders or Max mwenyewe kurudi ku cover nafasi ya Dogo.
Kanakimbilia mbele mno sehemu za Kina Maxi or attacking midfielders na kuacha nafasi yake wazi
Sijui...
Aisee dogo ni shidda, dogo anafanya timu inakosa balance, mara nyingi Bacca analazimika kushuka kushoto ku cover nafasi yake pale dogo yupo mbele anazurura na mpira upokonywe ghafla kitu ambacho ufanya mstari wa mwisho kuvurugika.
Aisee inashangaza sana timu kubwa kama Yanga kutokuliona hilo, timu ina benchi la ufundi wenye wataalamu kibao plus Football analyst, then inashindwa kugundua kama beki namba 3 inavuja, mechi karibia 5 mfululizo magoli yanatokea hukohuko
Duh! Hasira zote izi zimesababishwa na Namungo!
Mkubwaaa Jifunzeni kushinda mechi zenu, sio mnadroo na kudondoshaa point hasira mnazimalizia kwa wengine.
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
Uchambuzi wa Jamaa ni balaa, No blaablaa full of statistics na mbinu timu, makocha nk. Wanazotumia
YouTube Channel: Data Sports Tv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.