Duh! Hasira zote izi zimesababishwa na Namungo!
Mkubwaaa Jifunzeni kushinda mechi zenu, sio mnadroo na kudondoshaa point hasira mnazimalizia kwa wengine.
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
Uchambuzi wa Jamaa ni balaa, No blaablaa full of statistics na mbinu timu, makocha nk. Wanazotumia
YouTube Channel: Data Sports Tv
Bila shaka hasira za huyu mleta mada ni kuchaniwa mkeka [emoji28][emoji28][emoji28].
Muhimu kwa Yanga ilikua ni kucheza kwa kumuheshimu mpinzani, kulinda Ushindi, na kufuzu nusu fainali
Duh! Wakimfukuza basi watakua hawapo organized kabisa and unprofessional!
Kaja katikati ya Msimu, Hana wachezaji chaguo lake so anaitaji muda kusuka Kikosi chaguo lake.
Huku wanasema Baleke Mechi zidi ya
Mtibwa - 3
Ihefu - 3
6 Goals
Kakutana na timu ambazo
Ihefu walikua wanajikanyaga kanyaga na kudondoka hovyoo karibu na box lao na ivyo kupoteaa possession kirahisi, jamaa akawa anatengewa tuh kiulaini.
Na Mtibwa hawakua mchezoni siku io
Wanasema eti mechi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.