FURSA YA KAZI (UWE ACTIVE NA YOUTUBE)
Anahitajika kijana wa kike au wa kiume kwa kazi ya utangazaji habari za burudani (ajue udaku) online.
VIGEZO NA MASHARTI.
1. Umri kuanzia miaka 20 mpaka 30.
2. Awe na smartphone au laptop.
3. Awe na utayari (active) wakati wote wa kazi.
4. Awe tayari...
Habari wanaJamiiForums,
Nisizunguke sana. Ni kama tanagzo linavyojieleza. Wanahitajika vijana wawili ambao wana uwezo mzuri sana wa kuchambua habari za burudani (Gossip), matukio nk. Ambae anaweza kufanya kazi akiwa nyumbani.
Kuna youtube channel ambayo imenza kupokea matangazo na tayari...
Habari wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Kama kuna kijana ambae yupo serious na ni muandishi mzuri sana wa makala za kihistoria (deep) lakini pia anaweza akawa mchambuzi mzuri sana kwenye siasa hasa za Kenya na kuziandikia makala basi anitafute kwa mawasiliano haya. +255 623 582 579...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.