Recent content by Void ab initio

  1. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    AISEEE...mambo yamekuwa mengi
  2. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wewe ni mgeni humu sinaga tabia ya kuringisha ushindi, kwanza hizo code ni za nigeria wanaachia kila siku ni universal,hata wewe unachukua tu.
  3. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndio maana nimeweka handle yake hapo, mimi nafasi yangu kwasasa kuingia humu ni ndogo sana. 2018 na 2019 ndio nilikuwa ninashinda humu.
  4. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jamaa yuko twitter anajiita 39billions kila siku anatoa mkeka wa timu 39 odds zaidi ya laki mbili. Mimi namfuatilia mwaka wa pili sasa hivi.
  5. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huu niliweka 50, nikawahi kucashout
  6. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hatari nililifuata nimepata milioni 9
  7. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    INPLAY; Machida over 0.5 ODDS: 1.52
  8. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    AISEEEEE...!!!
  9. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pesa ya bure tukutane saa tano usiku
  10. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  11. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu kwema humu? Nimekuja kuwaletea maokoto leo. Mko tayari?
  12. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Eeeh stake za kibabe
  13. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Heshima yako mkuu...hapo ulifanya maamuzi sahihi.🔥🔥🔥
  14. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kabisa mkuu, kama hao 1xbet sina hamu nao nilishinda.milioni nne kuitoa ikawa nongwa, waliniomba passport bahati nzuri ninayo nikaipiga picha nikawatumia lakini bado mlolongo ukawa mrefu.
  15. Void ab initio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi nimemuomba huyo mwenzake apate goli la pili odd mlima
Back
Top Bottom