Taarifa iliyotolewa na NACTE katika ukurasa wao wa facebook mda huu, inasema kuwa kikao cha joint admision kimekaa na kukamilika leo hii. Katika taarifa hiyo wamesema kuwa kazi ya kutoa majina itafanywa na TCU kwa lengo la kuepusha mkanganyiko na hivyo tcu inategemea kutoa majina hayo baada ya...
Kwa maana hii vyuo ambavyo vimetangaza selection mapema majina vimetoa wapi? wakati waliomba kupitia tcu .Jamani waache uongo basi utendaji umekuwa bora kwenye vyuo kuliko tcu?
Jamani kuna utofauti gani kati ya:-
1)Bachelor of education in adult and
community ,
2)Bachelor of education in adult education and development na
3)Bachelor degree in adult and continuing education
HAYA NANI MKALI AFAFANUE
alitumia adress ya mtu.na mtu huyo kwa sasa anamwambia yuko nje ya nchi nifanyeje?
nimeingia nacte nikaandika kama nilivyoelekezwa sijaona hiyo kitu please nisaidie wanajamvi walau nione kama hatapewa ruhusa complication za waajili mnazujua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.