kawaida timu hushangiliwa na washabiki wake,nadhani walioshangilia pia ni wanomuunga mkono katika tuhuma zake
asilimia kubw ya wabunge ni wazinzi ndo maana walikuwa wakimshangilia muwakilishi wao
hasa kwa kufanikiwa kuvunja ndoa ya mwenzao
kwani hata majimboni kwetu wanazivunja sana ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.