Kipindi natumia MIUI simu ilikuwa na performance nzuri sana na ata battery ilikuwa vizuri nlikuwa naweza kuwasha data masaa 3 nipo online na simu ina 30% ila toka nimefanya update simu imekuwa haikai na charge nawez weka mfukoni nisitumie siku nzima nakuja kutoa ina 80% na sio kawaida. Kitu...
Huwezo wa kukaa na charge umepungua nikazani ni simu yangu tu ila kuna sehemu nilisoma ata watu wengine wanalalamikia swala hilo pia performance sio nzuri sana
Wakuu kwema?
Nina email yangu imegoma kurudi nilikuwa naomba msaada wa kuirudisha na mimi nitatoa zawadi kwa yoyote yule atakaeweza.
Email ni " godfreydumba8@gmail.com" password ni Viviane2021 na namba ya simu ni 0760618626
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.