Kwasasa anasafirisha Hivyo Vipodozi anaficha kwenye magunia ya Mahindi na Alizeti. Anaweka katikati ya magunia ya Alizeti na Mahindi Eli asafirishe Kwa urahisi. Huyo ndio Modi Vipodozi Don wa Vipodozi ukanada wa Kiteto - Manyara
Hivi Vipodozi Haramu Vilivyopigwa Marufuku vimemtajirosha ukiangalia Miamala ya kwenye Akaunt yake Imenona Kila week anapokwa mamilioni kwenye hiyo mizigo ya Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa
Fika Dukani Kwa Mody Vipodozi umulize akuonyeshe anazo sample nyingi tu
Karibu Matui Kwa Modi Vipodozi , uobe hivyo Vipodozi Haramu vikojee, huyu ni agent mkubwa wa kussuply mizigo Haramu yote
Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu ambae anajieta Jina la hivyo Vipodozi anauza hadharani hivyo Vipodozi ambavyo vimepigwa Marufuku na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.