Hata nabii Ibrahim aliambiwa amuondoe mjakazi wake Hajir na mwanae baada ya kuingilia ndoa yake na Sarah. Ndo mana hadi leo kuna waisrael na wapalestina. Mungu atawabariki huko huko walipo.
Bye.
Asante kunihurumia. Pia nawashukuru wote kwa ushuriki wenu. Nimeelewa kuwa sipo peke yangu, kuna wababa waliowatia mimba hadi binti zao wa kuwazaa nk. Wa kwangu miye kawatia mimba mabinti wa umri wa miaka 18_19 ndani ya muda wa miaka zaidi ya 10, sio mfululizo.
Pia nimegundua watu wengi...
Kama kuna kitu huwa hakinipi shida ni mali tulizonazo. Mungu analijua hili na ndo maana kanibariki kwa hilo. Pia kati yetu yoyote anaweza tangulia mbele za haki.
Halafu, je wewe unajua kichomo ndani ya wosia huo? Pengine watoto wote wamegaiwa mgao.
Mimi shida yangu kubwa ni kuwa na mume wangu...
Kwa taarifa yako kesi yangu si ya kwanza kutokea. Hata hao unaowaita wake wenza hAwakuoewa mimba kwa siku moja ni miaka inapita ndipo inatokea. Kama ulidhani nitaachana na mume wangu hilo halitotokea utasubiri sana tu maana alichokiunganisha Mungu...utamalizia.
Sina pressure wala magonjwa yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.