bibi mmoja alikuwa kibogoyo, ck 1 akapita sehem moja palipokuwa na mkutano wa injili .
akamsikia mhubiri akisema;
siku ya mwisho ni kilio na kusaga meno. yule mzee alisikika akifurahi sana kwa kuwa alikuwa hana meno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.