Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wazalendo ( ACT Wazalendo ) amepitishwa kugombea Uenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania. Baraza la Vyama vya Siasa Ni chombo kilichoundwa Kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa Kwa Lengo la kuweka jukwaa la Vyama hivyo kujadiliana masuala yenye maslahi...
Chama cha ACT Wazalendo kimejitosa rasmi kushiriki uchaguzi mdogo wa marudio wa jimbo la Dimani huko Zanzibar.
Hamad Yussuf leo amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Dimani Zanzibar katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (NEC) iliyopo Kiembesamaki Mjini Magharibi Kisiwani Unguja...
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wazalendo ( ACT Wazalendo ) amepitishwa kugombea Uenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania. Baraza la Vyama vya Siasa Ni chombo kilichoundwa Kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa Kwa Lengo la kuweka jukwaa la Vyama hivyo kujadiliana masuala yenye maslahi...
MAKONDA AANZE UPYA, AOMBE RADHI
Muhidin J. Shangwe
(@ShangweliBeria)
Tangu Paul Makonda akiwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni nilikuwa na wazo la kuandika makala yenye kichwa, “MAKONDA ANAPENDA SIFA AU TUNAOGOPA KUMSIFU?” Ilikuwa ni baada ya mwanasiasa huyu kijana machachari “kuteka” vichwa vya...
KATIBA YA ACT WAZALENDO.
Hii ni SURA YA NNE YA KATIBA YA ACT, Ibara ya 25.
25. ACT-Kata/Wadi
(1) Ngazi ya ACT-Kata/Wadi itaundwa katika eneo la
kiutawala la Kata/Wadi katika Serikali za Mitaa.
(2) Vikao vya Chama vya ACT-Kata/Wadi vitakuwa
ni:
i) Mkutano Mkuu wa ACT-Kata/Wadi;
ii) Kamati ya...
TAARIFA KWA UMMA.
Buriani Komredi Fidel Castro - Mshirika wa Tanzania katika Ukombozi wa Afrika
Chama cha ACT Wazalendo kimezipokea taarifa za kifo cha Komredi Fidel Castro, Mwanamapinduzi na aliyekuwa kiongozi (Waziri Mkuu na Rais) wa Cuba (1959-2008) na Kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha...
TANZANIA YA VIWANDA: JE, SERIKALI INAYO DIRA SAHIHI KUFIKIA NDOTO HII?
Serikali ya Chama cha Mapinduzi chini ya Rais John Pombe Magufuli inaimba ndoto ya Ujenzi wa Viwanda nchini. Hilo ni jambo jema kwa nchi yetu inayopambana ili iendelee kiuchumi na kuondoa umasikini.
Viwanda ni sehemu...
Serikali ya JPM, ilihakikisha umma hauupati uchambuzi huu. Tunauwasilisha kwenu kwa njia mbadala.
========
UCHAMBUZI WA BAJETI YA SERIKALI 2016/17
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto (Mb)
Kiongozi wa Chama
12 Juni 2016
Dar es Salaam
01. Utangulizi
Serikali ya Awamu ya Tano imewasilisha Bungeni Bajeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.