Habari wanajamii
Mnakumbuka nilileta changamoto yangu na hamkusita kunishauri vyema na sasa ule ushauri mlionipa umezaa Matunda
Nawashukuru kwa kila mmoja wapo kwa kusoma story yangu na kutia chochote kitu Moyo ukapoa maana niliwaza mengi Sana kwa wakati ule Ila kubwa Zaidi nilijitahidi sana...
No wazo zuri ata nawaza ila Na mtt mdogo anamiak 2 nikuenda kazn inabdi nibebe ndomana nilitaka biashar niwalipie ata ada mm nihangaike najua wao wapo shule mpk mda wakurudi nyumbani ninawapitia
Zamani kabla atujazaa tulikuwa tunaishi na ananipa keshi iyo elf 5 Kwakipind kile n nying gharam za matumiz azikuwa juu my mchel adi 1200 unapata na mpo wawil na tulikuwa atuna familia lakn sasa familia ipo lakin kipato kilekile ..ata uongee ...na wifi yangu yupo na mtt mwingn lakn ni Ile Ile
asante kitu ambayo nakumbuka toka tumeanza kuishi na kuzaa watoto hawa wawil ni ...toka tupo wawil mimi nayy alikuwa anatoa ivoivo ela au ananunua chakula minapika kipindi icho gharama za matumizi bado azijapabda na tunaishi wawil tumekuja kuongeza familia nayo ni vilevile tu najibana nakanae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.