Mnamo miaka ya hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa sana la wasichana/mabinti wanao zalia majumbani mwao namaanisha kwa walezi wao au wazazi wao.
Na wanalea watoto pekeao bila wazazi wenzao kuhusika na malezi ya watoto na hata kama wakihusika ni ile tu kutembeleana na si kuishi kama familia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.