Duh... Sikuifuatilia format sorry... Title should be Kiwanja Kinauzwa... Main topic ndo Kiko eneo la Somangila(kata) Kitongoji cha Dege; kituo maarufu kama mwembe mdogo. Jirani ndo kuna huo mradi wa magorofa ya NSSF.
Ni hapo hapo mwembe mdogo kuna eneo limepimwa viwanja ...Moja WaPo ya viwanja hivyo kuna hicho kimoja kinauzwa.. Ulitaka nikufahamishe vizuri zaidi ya hapo labda uulize haswa unachotaka kufahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.