Recent content by Uweza 2017

  1. U

    JamiiForums Tanzania Madhara ya wadada kutupia picha na video za makalio mitandaoni

    Mafikizolo upo vizuri Mkuu,asante kwa ufafanuzi
  2. U

    JamiiForums Tanzania Madhara ya wadada kutupia picha na video za makalio mitandaoni

    Mshuza2 upo vizuri
  3. U

    JamiiForums Tanzania Madhara ya wadada kutupia picha na video za makalio mitandaoni

    Red giant,mjanja sana mkuu, Unatega,simu yangu hainaga picha hizo ndio maana sina password
  4. U

    JamiiForums Tanzania Madhara ya wadada kutupia picha na video za makalio mitandaoni

    Bufa usitamani,ni hatari
  5. U

    JamiiForums Tanzania Madhara ya wadada kutupia picha na video za makalio mitandaoni

    Putin hatari hiyo,acha mkuu
  6. U

    JamiiForums Tanzania Madhara ya wadada kutupia picha na video za makalio mitandaoni

    Jf member vituko vipo face book,nna kazi ya unfollow watu kila siku Tuwasaidie vijana,hata mmoja Mimi kila nikikutana nao,naongea kwa upendo wana nielewa sana
  7. U

    JamiiForums Tanzania Madhara ya wadada kutupia picha na video za makalio mitandaoni

    Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na kawaida ya wadada kutupia picha na video za makalio katika mitandao. Kuna madhara makubwa ; wengi ufanya kwa kuangalia leo,tazama utakapofika miaka 50 au 60, iwe wajukuu wako wanaona utajisikiaje ? Tuchukulie wakati huu unajirusha mara paaa!! Umeolewa kwa...
  8. U

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania kuna Ubalozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati?

    XAF fedha yao XAF 1 sawa na TSZ 4.09 Kuna vingi vya kujifunza,nimempeleleza mwenyeji wangu huko Hela yao strong kuliko yetu Kuna fursa fulani,nimepata mwenyeji,nataka niende wiki moja tu,ndio maana natafuta VISA Wenye kujua ubalozi wao tafadhari
  9. U

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania kuna Ubalozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati?

    Kanali mstaafu ni kweli Acha nikupe kitu chenye kushangaza, hela 559 ni sawa na US Dollar 1 Wkt Tanzania,TZS 2200 sawa na US Dollar 1
  10. U

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania kuna Ubalozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati?

    Mkuu ,Tanzania ni nchi yangu,JPM Rais wetu Ni vyema kujiongeza,kutafuta visa si kuhama nchi Nahitaji msaada sana
  11. U

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania kuna Ubalozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati?

    Habari JF? Naulizia ubalozi wa nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati nchini Tanzania upo wapi? Nahitaji kupata VISA.
  12. U

    JamiiForums Tanzania Naulizia ubalozi wa Central Africa Republic upo wapi nchini Tanzanis ?

    Habari wana JF ?,naulizia ubalozi wa Central Africa Republic upo wapi nchini Tanzania ? Nahitaji kupata VISA.
Back
Top Bottom