Recent content by Utumishi wako fair

  1. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Boss hata wewe ,ukijihisi umekata tamaa njoo inbox nitakupa mbinu za kusimama tena na kuwa strong💪....Kwanza hesabu baraka alizokupa Mungu, Kuna nyengine ulikaa kwa kusubiria ukafika muda zikakufikia.... Hata kazi, wewe piga interview ...suala la Placement sio lako wala la utumishi, ni la Mungu...
  2. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu nakuombea upate kazi ,Brother angu 🙏
  3. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nakulewa Mkuu, nakuelewa sana... nimepita hiyo hali hadi ubongo unakuwa affected na mawazo yani muda wote unataka ku refresh page ya utumishi uone hata tu kada yako imetoa ili ujipe tumaini majina yasogee.... Pia kama mtu hajapita hiyo hali kukwambia kuwa na subira unaweza mjibu hivi unajua how...
  4. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Boss kwa akili zako za kawaida unaweza ku expouse taarifa za ugali wako ? Kwa wanga....Humu ni kama wachawi tu.... Ni sawa na rafiki yako mliyeachana primary akuulize unafanya kazi wapi ili ajue kiwango cha kukuheshimu.... Elewa nimepata kazi taasisi nzuri mtu yoyote ambaye anbgepata asingetaka...
  5. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Powa Mkuu utapata, tuu...inshaallah Mwaka 2024 Mungu ataenda kukufungulia Wewe na Wengine pia...Kikubwa Dua na subra...Mimi kuna rafiki yangu aliwahi kaa miezi 8 Database,siku akachomoka
  6. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapana boss, siwezi kusema taasisi gani...
  7. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Amiin mwenyezi Mungu akusaidie upate kaka.
  8. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    But Niwakikishie Pale Connection Hakuna, cz wameamua kujipambanua kufata haki.... Na hawawezi peleka mtu hajui kwenye offc sababu ungeshasikia taasisi zinalalamika wanapelekwa watu weupe kichwani.
  9. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Niwe Mkweli barua yangu ilikuwa signed siku za karibuni haizidi Week... Ila kwa majamaa niliokutana nao wao walisainiwa muda kidogo...cz ukishapokea inakuwa imefungwa kwenye bahasha ndogo ,so wanakwambia shuka hapo ufungue uisome... Uhakikishe kama ndio yenyewe... So nilikutana na jamaa kama...
  10. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapa Duniani hakuna kitu kigumu na kizito kama subra.... But kila mwenye kusubiri Basi yupo pamoja na Allah... Uwe mwingi wa kusubiri...kama rafiki yako alipata kazi, jamaa yako alipata, na unaona shuhuda humu watu wamepata kazi...Basi hata wewe zamu yako ipo utapata....Wote humu tulikataa...
  11. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi nilikuwa muhanga kweli wa ajira, na nilikuwaga napigaga ramli kweli kweli... But honestly Nimepata kazi ..na ni sehemu nzuri sana... Na siwezi fikiria kuhama kabisa ...kwa mazingira tu niliyoyakuta ...nafikiri carrier yangu ita grow much fast nikiwa pale .. cz kuna mazingira rafiki yote ...
  12. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    🤣🤣 Kaka so yanini nidanganye yani napata faida gani?? Hivi unajua maumivu ya ujobless wewe?? ...Boss Mimi nimeshajipata.... Na evidence nitakayoitumia ni siku nafika offcn nitakuwa nawapigia picture from monday to friday but bila kuonyesha sura yangu... Tena nitakuwa nawaambia leo naenda kazini...
  13. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi wewe jamaa unajua kweli maana ya it personal kweli au unavuta jina unajipachika boss wangu??
  14. U

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu Nipo ,nilikuwa nafanya mizunguko ya kutafuta viwalo kidogo huku Dar es salaam ... Si unajua masuala ya Utumishi nini... Vikaunda suite vya hapa na pale... Ila uzi unasikitisha sana, yani nahisi hata huyo IT akiona hayo Ma PDF anaendelea kukalia yani... Mtu hana ajira ana discuss salary 🤣🤣...
Back
Top Bottom