Halmashauri ya Lushoto (TANGA) Ajira Mpya 2026, Kada ya ELIMU hatujapewa pesa ya kujikimu. Tukidai Kwa wakuu wa Idara wanatujibu hovyo
Soma Pia: Ajira Mpya 2026 Ruvuma - Namtumbo Kada ya Afya hatujapewa fedha ya kujikimu
Wenzetu Kada ya Afya 2026 tulioripoti pamoja wao wamepesa stahiki zao...
Halmashauri ya Lushoto inachelewa kuwapa Watumishi Posho zao za kujikimu walioajiriwa Mwaka 2026, hivyo kufanya vijana kuishi kwa ugumu huku Ugenini.
Wakati Halmashauri nyingine ndani ya Mkoa na Mikoa jrani zimeshalipa Posho ya kujikimu.
========================
Tunaomba utupazie sauti sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.