Recent content by Usherman

  1. U

    Wapendekeza awamu urais iwe miaka saba

    Eee mungu tuepushe na hili janga lisitufike kwani huu muda wa miaka mitano mitano uliokuwepo tulitaman hata upunguzwe kwa sababu ya kuona jinsi maisha yanavyozidi kuwa magumu kwa viongozi kujisaau kabisa na kutuacha wananchi tukiangamia.....Wanataka iwe hivyo ili kula ya wateule wa rais izidi...
  2. U

    Vyuo vikuu wampendekeza January Makamba kuwa Rais ajaye

    Hata sio njaa ndugu yangu Ulimbukeni,Tamaa,Ujinga uliokithiri,Ushabiki na Uvivu
  3. U

    Vyuo vikuu wampendekeza January Makamba kuwa Rais ajaye

    Hata vyuo vya Kata navyo wanaviita vyuo vikuu loh ndo maana tunaangamia kwa kuwa na vilaza kwenye utendaji
  4. U

    Vyuo vikuu wampendekeza January Makamba kuwa Rais ajaye

    Unaweza kusoma lakini usielimike NI SHIDAAA...HII IMEJIDHIHIRISHA KWA WANAOJIITA WASOMI WETU WA TANZANIA
  5. U

    Mawaziri wapigwa stop ziara za Rais

    Waache wameweka pamba masikion lakini dalili za kiama wameshaziona
  6. U

    Eng. Pamela Maassay ni kijana anayefaa kuwa mfano wa kuigwa katika taifa letu la Tanzania

    Ni mtu wangu wa karibu sana na namfuatilia kwa makini sana kwa kuwa nauelewa uwezo wake.....By the way anapigiwa chapuo ili iweje hata bila mm kupost kuhusu yeye ENG.PAMELA MAASSAY TAYARI NI MKALI..KIZURI CHAJIUZA KIBAYA CHAJITEMBEZA...GO TO U TUBE ili ujue kama sio wakupigia chapuo kama wewe...
  7. U

    Eng. Pamela Maassay ni kijana anayefaa kuwa mfano wa kuigwa katika taifa letu la Tanzania

    Jamaa huyu dada ni zaidi ya jembe hicho unachokisema si cha kweli siku aliyokuwa hotmix nilimsikiliza pia.Hapa umepotosha.......alijibu hivi "Nimetoka nje kwa sababu naona bunge limepoteza uelekeo na tunazidi kuwaumiza watanzania kuendelea kukaa kujadidi maisha binafsi ya watu na tabia zao...
  8. U

    Eng. Pamela Maassay ni kijana anayefaa kuwa mfano wa kuigwa katika taifa letu la Tanzania

    Habarini za leo wanajamvi? Nimewia kuandika uzi huu kutokana na kuamini kwamba humu tunajadili mambo mengi tunakosoa na kupongeza pale tunapoona inastahili. Kuna binti anaitwa Eng. PAMELA MAASSAY ni miongoni mwa wale wajumbe wateule wa rais kupitia kundi 201 kwenda Bunge Maalum la Katiba...
  9. U

    Uraia pacha: Maslahi binafsi dhidi ya masilahi ya Taifa

    Wewe unajua nini?tuambie wewe unachokijua
Back
Top Bottom