Recent content by User26

  1. U

    JamiiForums Tanzania Mpangilio usio sahihi kwa fani ya diploma ya forensic science kwenye mifumo ya ajira portal na zan ajira. Utumishi hamulioni hili?

    Wahitimu wa diploma ya forensic science kutoka UDOM tunapata shida kwenye kuomba ajira kutokana na mpangilio usio sahihi wa category yake, kikawaida forensic science ni Applied/Natural science ila kwenye mifumo hii miwili imepangwa katika category ya IT and telecoms kitu ambacho sio sahihi, je...
Back
Top Bottom