Za miangaiko ndugu zang
Mm ni kijana Nina miaka 21nasoma APA Mosh na nna kaa APA Arusha
nataka nianze ufugaj wa kuku APA mkoani Arusha nataka kufaamu wap ntapata kununua kuku namaanisha sehemu ya uwakika
Aina ya kuku wa kuanza nao lakini wasiwe wakisasa
Kama kuna mdau yupo Arusha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.