Recent content by usain 10

  1. U

    Hsebl tukumbukeni tulio appeal jamani

    Kama kuna mwenye taarifa kuhusu wale walio appeal atuambie ule mchakato wa kuappeal umefikia wapi maisha ya chuo bila mkopo ni magumu sana
  2. U

    'First Class' ya UDOM ni sawa na 'Gentleman' ya SUA

    hivi udom kwanini mnaitusi nyie msionaakili kama ni wadau wa elimu ni bora kutoa maelezo yakina ilikuendeleza chuo hiki na sio mnaropoka tu pasipo maana yoyote (no research no right to speak) watanzania tubadilike
  3. U

    Kipi Chuo Kikuu Bora Tanzania??

    hata kuandika hujui mb * vu sio succos ni saccos udsm nichuo kikokngwe lakini sio chuo bora
  4. U

    Kipi Chuo Kikuu Bora Tanzania??

    University of Dodoma
  5. U

    Heslb ukombozi tenaa

    mbona huweleki wewe hebu fafanua vizuri
  6. U

    Duh,siamini!

    dah usikate tamaa sema hawa jamaa siwaelewi hata mimi ya dah ila nakushauri ukomaee
  7. U

    Nifanyeje nipate gpa nzuri

    Naomba msaada wa maelekezo ya kuweza kupata GPA nzuri jinsi zinavyo gawanywa kuanzia first mpaka mwisho:amen:
Back
Top Bottom