Recent content by Upendo na Amani

  1. U

    UDSM WATOA RUHUSA KWA ANAETAKA KUBADILI COURSE ALIYOCHAGULIWA,SOMA HAPA..1st year 2013/14

    Utaratibu wa kubadili kozi upo tangu kipindi cha kuomba nafasi ya chuo kupitia fomu kabla ya mfumo wa TCU haujaanza na wameufafanua vizuri katika tangazo lao ambalo lipo kwenye www.udsm.ac.tz. Kitu cha msingi cha kuzingatia ni kwamba kozi unabadilisha wakati masomo yanaendelea, hivyo uwe radhi...
  2. U

    Industrial eng. Udsm

    Nachangia hoja:Unapoomba kozi fulani kwenda kusoma inabidi ujue umeandaa vipi ramani ya kutokea katika kozi hiyo, ni namna ya wewe unavyojipanga. Usipende kusoma kozi kwa kupumbazwa na jina la kozi hiyo, jina la kozi si kigezo.
  3. U

    Important information for first year who admited to join udsm and its branches,muce and duce

    Kila kitu kinajielezea katika tangazo ambalo lipo katika web ya chuo! Karibuni sana, na mkumbuke kuwa Mlimani ni Elimu Kwanza!
  4. U

    Live Orientation: kwa wale wa UDSM

    Cha msingi kwa hao mwaka wa kwanza ni kujipanga maana shule ya huku si sawa na ile ya Sekondari, shule ya huku si ya lelemama!
  5. U

    UDSM yafurika

    Kushindwa mtihani ni hatua ya mafanikio, hivyo kushindwa kwao mtihani si jambo la kushabikia! Mimi nawatakia mtihani mwema!
Back
Top Bottom