Recent content by Upekuzi101

  1. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Mpaka wa Bologonja Kuna jambo linatokota naamini Serikali yetu inajua cha kufanya

    Bologonja ni mpaka au geti linalounganisha hifadhi ya taifa ya Serengeti na Maasai Mara Kenya. Geti hili linawezesha mgeni kutoka Kenya Maasai Mara kuingia Serengeti kufanya game drive na kurudi Kenya kupitia mpaka huu. Mwalimu Nyerere kwa kutumia akili kubwa na busara ya kizalendo kwa maslahi...
  2. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia kulihutubia Taifa kupitia mkutano wa wazee wa Dar es Salaam kesho Desemba 2, 2025

    Siyo kupitia mkutano wa vijana, ni wazee tena?
  3. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania GE2025 Utabiri: Baada ya uchaguzi mkuu, kwa mara ya kwanza Tanzania inakwenda kuwa na Waziri Mkuu mwanamke

    Kama rais tunaye sasa waziri mkuu kuwa mwanamke Kuna nini cha ajabu?
  4. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Mahojiano yamehairishwa mpaka pale itapotangazwa tena....
  5. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna vigogo walambishwa asali wameandaliwa kama mashaudi kwenye kesi ya Lissu

    Tumeona judge Mtembwa akiruhusu mashahidi wa siri kwenye KESI ya LISSU baada ya maombi ya DPP, ila hili ni angalizo, kama upo mahali au upo JF na umepangwa eti kutoa ushahidi kwa siri dhidi ya LISSU inapaswa kujifikiria sana, hakuna siri kwenye hii dunia maana ni kama mnafahamika tu maana...
  6. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Bumbuli wataka Majina yote ya waliotia Nia ya Ubunge yarudishwe Jimboni Wanachama wayapigie Kura kama Watakavyowapigia Madiwani!

    January kashashindwa acheni kelele. Ndo mmeenda kujipanga hivo?
  7. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Baada ya machawa kupigwa chini kwenye mchakato, CCM waja na mkakati wa kuwapitisha tena ndiyo maana wakataka majina mengi yaende juu

    Baada ya wajumbe huku chini kideal vizuri na wale waliokuwa machawa, wazembe na waliongia kwenye nafasi za uongozi kwa kubebwa, CCM imeona haiweziishi bila machawa wameona waje na mpango mwingine wa kuhakikisha wanawapitisha huko juu Ili kudharaulisha na kupuuza maamuzi ya wajumbe kwaiyo...
  8. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania TANAPA wamezembea makusudi kutengeneza daraja kogatende ili wapitishe agenda ya kuweka tozo kwenye kivuko

    Agenda ya kuweka TOZO kwenye kivuko Ilihali mgeni amelipa kiingilio cha Serengeti kuona kila kitu ndani ya Serengeti ilikuwa agenda ya TATO na wamiliki wa mahoteli katika eneo la KOGATENDE, lengo ilikuwa ni kumiliki lile eneo na kunyima nafasi kwa budget travellers kufika huko.
  9. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania TANAPA wamezembea makusudi kutengeneza daraja kogatende ili wapitishe agenda ya kuweka tozo kwenye kivuko

    Baada ya sakata la tour guide kuwaruhusu watalii kushuka kwenye magari kutazama kivuko cha nyumbu ni kinyume na taratibu za uhifadhi pamoja na uongozaji wa watalii lakini ucheleweshaji wa kujenga kivuko hicho Ili kiruhusu watalii kuvuka upande wa pili wa mto Ili kuona vizuri uvukaji wa wanyama...
  10. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikao cha kubadili Katiba ya CCM kufanyika kwa mtandao ni dhihaka kwa CCM. Sidhani kama wana CCM mikoani watakubaliana nalo

    Acha kuongea kama mlevi...Yani Leo ndo CCM waite mkutano kupitia mtandao tena kwa ajenda inayohitaji ushiriki wa asilimia 100 wa wanachama, unaona kama unaongea na viazi wenzako e?
  11. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikao cha kubadili Katiba ya CCM kufanyika kwa mtandao ni dhihaka kwa CCM. Sidhani kama wana CCM mikoani watakubaliana nalo

    Wanaanza kujipatia Reform wao wenyewe kwanza ndo ifuate ya wote...?
  12. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikao cha kubadili Katiba ya CCM kufanyika kwa mtandao ni dhihaka kwa CCM. Sidhani kama wana CCM mikoani watakubaliana nalo

    Ndo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia au ukiwa unaitetea CCM lazima kiwango cha akili kiwe kidogo namna hiyo? Wewe huwezi kupima ukubwa wa mchakato, timing na utaratibu wa kurekebisha kipengele cha katiba unavotakiwa kuwa?
Back
Top Bottom