Alafu hiyo point ya 'tafuta hela' imekua nyingi mno, ni kweli lakini hata hao watu mnaonipa mifano yao kama diamond binafsi sioni tatizo lolote hata kabla ya kupata hizo hela .. ninachomaanisha ni kwamba, mimi nikisimama mbele za watu lazima wacheke kimya kimya na sio mara moja au mara mbili...
Mkuu! Mi ni mcheshi sana na napenda sana utani, ila itoshe tu kusema kwamba hakuna utani Kati ya watu wasiofahamiana .. mtu tu amekukuta barabarani anaongea maneno mazito .. huo ndio unaoita utani ??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.