Recent content by Unyayo

  1. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Alafu hiyo point ya 'tafuta hela' imekua nyingi mno, ni kweli lakini hata hao watu mnaonipa mifano yao kama diamond binafsi sioni tatizo lolote hata kabla ya kupata hizo hela .. ninachomaanisha ni kwamba, mimi nikisimama mbele za watu lazima wacheke kimya kimya na sio mara moja au mara mbili...
  2. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Sio utoto mkuu, mi nadhani hujui jinsi gani inavyokata watu kukushangaa na wengine hata kucheka, ni dhahiri utakosa confidence
  3. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Mkuu! Mi ni mcheshi sana na napenda sana utani, ila itoshe tu kusema kwamba hakuna utani Kati ya watu wasiofahamiana .. mtu tu amekukuta barabarani anaongea maneno mazito .. huo ndio unaoita utani ??
  4. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Asante sana mkuu
  5. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Mkuu nimeshazoea ila kuna mambo yanadhalilisha sana
  6. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Shukrani mkuu [emoji120][emoji120]
  7. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Nitajitahidi mkuu
  8. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Nashukuru sana mkuu
  9. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Nashukuru sana mkuu
  10. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Ubarikiwe mkuu [emoji120][emoji120]
  11. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Ndio uhalisia mkuu
  12. Unyayo

    Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

    Nashukuru sana mkuu
Back
Top Bottom