Recent content by untimwenge

  1. untimwenge

    Serikali ina miongozo ya chakula kwa wanafunzi wa bweni?

    Nafikiri Kuna haja ya kuwa na miongozo kama hii maana serikali huwa inapeleka hela shuleni kwa kila kichwa cha mwanafunzi, hili la kuachiwa bodi ya shule husika nadhani siyo sawa. Kuna shule tunasikia wanafunzi hawapati kabisa baadhi ya chakula hadi siku Mkuu aamue mwenyewe
  2. untimwenge

    Serikali ina miongozo ya chakula kwa wanafunzi wa bweni?

    Vipi na lile la wakuu wa shule kupika wali au nyama siku wakijisikia, vinginevyo hampikiwi vyakula hivyo? [emoji23]
  3. untimwenge

    Serikali ina miongozo ya chakula kwa wanafunzi wa bweni?

    Kumekuwa na malalamiko kwa baadhi ya wanafunzi kutopata chakula/milo sahihi kwa baadhi ya shule. Mfano wali mara ngapi, ugali, nyama mara ngapi kwa wiki? Hili liwe wazi Ili baadhi ya wakuu wa shule wasio waaminifu wasije wakafanya wanavyotaka.
  4. untimwenge

    BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

    Kwani bakwata ni nani kwenye nchi hii?
  5. untimwenge

    Lissu hana staha za kauli kwa mamlaka, arudishwe Ubelgiji

    Kwani kwao ni ubelgiji?
  6. untimwenge

    Wapinzani pelekeni hoja nzito kwa wananchi, sio blaa blaa za Bandari

    Kwa hiyo bandari siyo hoja nzito?
  7. untimwenge

    Kwasasa Rais Samia amembakiza Kassimu Majaliwa tu!

    Jamaa mjanja sana, sasahivi kajiegeza kwa mama utafikiri siyo yule wa kipindi cha ubabe
  8. untimwenge

    Anasema anajenga kwa kukopa, Magufuli alitaka tujitegemee kwa kiasi fulani kujenga

    Tatizo la Magu usanii ulikuwa mwingi, kawadanganya watu na wengi walikubali kudanganyika. Watu waliamini hata vilivyowazi kutokuamini, eti tuliambiwa na sisi tutakuwa tinakopesha kwa wazungu, [emoji23][emoji38]
  9. untimwenge

    Freeman Mbowe kuongea na vyombo vya Habari Machi 18, 2022

    Hivi kwa mfano Mungu asingeingilia Kati hadi leo hali tungekuwaje? Asante Mungu kwa kuipenda Tz
  10. untimwenge

    Tetesi: Chato kuwa Mkoa au Magufuli Day kutangazwa rasmi na Rais Samia

    Ila Chato imetumia rasilimali nyingi za taifa hili Pengine kuzidi uhalisia wa Chato yenyewe [emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24][emoji24]
  11. untimwenge

    Hayati Magufuli atakumbukwa kwa msimamo na maono yake kwa Taifa

    Hivi mwanzilishi wa kesi ya Mbowe ni nani, siyo mwendazake ila ikamwangukia tu mama? Mungu wetu ni mwema sana, uzuri kwenye kifo hakuna mbabe wala mnyonge
  12. untimwenge

    Waziri Nchemba umeshindwa kumsaidia Rais kwenye mfumko wa bei

    Kwa kweli hali ya mfumuko wa bei ni mbaya sana, sijui kwanini waziri mhusika asimsshauri Mh Rais vizuri
  13. untimwenge

    Kwanini Rais Samia anatumia ndege za ATCL kwa safari zake hata fupi badala ya ndege ya Rais?

    Mimi nashauri ndege moja ya ATCL ipaki pale kwenye uwanja wa ndege wa chato popo wa kule wazaliane mle maana watu wa kule wamiimiss sana ndege
  14. untimwenge

    IGP kwenye suala la Lissu chutama, umatusononesha sana Watanzania kwa kumshambulia mhanga kwa maneno badala ya kutafuta wahalifu

    Kwa maelezo ya IGP kuwa hakufika kuandikisha maelezo, nahisi pia gari ukipata ajali polisi hawahusiki hadi wahanga wafungue jalada kisha ndiyo ajali hiyo ishughulikiwe na polisi
Back
Top Bottom