Habari zenu wakubwa,
Naomba ushauri na msaada mzee wangu alimdhamin mtu hasa akaweka dhamana ya nyumba yake kisa alirubunia atapewa 10%...huyo mtu alienda bank kwaajili ya kupewa mkopo bank wakamwambia hatuwezi kukupa Hela bila dhamana ya nyumba yule mteja ndo wakamkutanisha mzee kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.