Recent content by UNIQUE BOI

  1. U

    Mzee wangu kaingia katika dhamana ya nyumba kwa makubaliano ya 10% – Hali ya deni la mkopo la Mteja Inavyomsumbua"

    CRDB BANK niliongea na Moja wa maafisa wake wakasema haiwezekan kumdhamin mtu nyumba kama cyo ndugu yako
  2. U

    Mzee wangu kaingia katika dhamana ya nyumba kwa makubaliano ya 10% – Hali ya deni la mkopo la Mteja Inavyomsumbua"

    Habari zenu wakubwa, Naomba ushauri na msaada mzee wangu alimdhamin mtu hasa akaweka dhamana ya nyumba yake kisa alirubunia atapewa 10%...huyo mtu alienda bank kwaajili ya kupewa mkopo bank wakamwambia hatuwezi kukupa Hela bila dhamana ya nyumba yule mteja ndo wakamkutanisha mzee kupitia...
Back
Top Bottom