Katika halakati zangu za hapa na pale, nimekutana na mshikaji wangu alisoma uchumi akaja pata internship mahakamani. Katika stori mbili tatu, kumbe jamaa baada ya mkatakaba wa TaESA kuisha akalamba asali moja kwa moja.
Nimejifunza, katika utafutaji usizarau fulsa utakazo pata/ zinazokuja mbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.