Habari ndugu
Mimi ni kijana mwenye malengo ya kujifunza ufundi wa simu sasa naomba ushauri kipi nianze kati ya kuanza kujifunza kwa fundi wa mtaani kisha niend veta au niende veta af nirudi kwa fundi mtaani kwa uzoefu zaidi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.