Yah nimeongoni mwa mwa juhudi za maendeleo mpendwa! Msikitini ni sehemu ya kujenga amani na iman lkn pia ni sehemu ambayo kiasi cha mali ( zakka) hukusanywa na baadae kugawiwa wanaostahili ( masikini na mafukara) je huoni hayo ni maendeleo? Bila iman na aman kutakua na maendeleo? Sadaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.