Ukifanya sampling Randomly ya watu wanaopinga ulegelege wa serikali ya Kikete Unaona kabisa kuwa watanzania wamechoshwa na hali ngumu ya maisha na viongozi viziwi wasiojali hali za wananchi wa Taifa letu la Tanzania, Maaandamano oyeee lazima kieleweke Aluta continua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.