Habari wana JF, mi ni mjasiriamali chipukizi............... Najishughulisha na kukusanya zao la Ukwaju. Mwenye uhitaji naomba anitizame inbox tuzungumze
huyu kama sio chizi ni bwabwa....... Chuo kikuu si lazima kiitwe university! Kiingereza ni lugha mtambuka sana na kwa taarifa yake IFM inatoa masters...
kwa wale walioko chuo hiki au yeyote mwenye msaada wa taarifa. Kwenye join kuna maelekezo kuwa ili upate usajili hapo IFM ni lazima ulipe 1,150,000 mi naona kama hii ni hela kubwa sana kwa kuanzia hasa kwa sisi ambao hatujapata mkopo wa bodi. Swali ni je, wanaweza kukupokea bila kulipa kiasi...
kama ni mtazamaji wa porn acha..... Nimesoma article fulani kwa watu ambao wako addicted na pornography huwa inafika kipindi wanashindwa kusisimka wawapo na actual partners wao. Pia usiliwaze hilo wakati wa tendo kwani litakujaza hofu na kupelekea mambo kujirudia.pia jaribu kumshirikisha mkeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.