Tatizo la huduma ya mtandao internet lililotokea juzi lilikuwa na njia mbadala kama Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA ingefikiria njia mbadala yani Backup ya Satelite badala ya kutegemea mkongo chini ya Bahari.
Kuwepo na backup ya Satelite link
Awali ya yote ni vyema kutambua juu ya umuhimu wa Shirika la Utangazaji la Taifa duniani kote, kwa kawaida tunapozungumzia sehemu nyeti za kitaifa kama vile makambi ya Jeshi, Jengo la Taifa (Ikulu), vituo vya kuzalisha Umeme, vituo vya kuzalisha Gesi ghafi au asilia, Miundombinu ya kitaifa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.