Recent content by UKWELI24

  1. U

    JamiiForums Tanzania Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania

    Tatizo la huduma ya mtandao internet lililotokea juzi lilikuwa na njia mbadala kama Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA ingefikiria njia mbadala yani Backup ya Satelite badala ya kutegemea mkongo chini ya Bahari. Kuwepo na backup ya Satelite link
  2. U

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali imuangalie upya Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa, Ayoub Rioba

    Awali ya yote ni vyema kutambua juu ya umuhimu wa Shirika la Utangazaji la Taifa duniani kote, kwa kawaida tunapozungumzia sehemu nyeti za kitaifa kama vile makambi ya Jeshi, Jengo la Taifa (Ikulu), vituo vya kuzalisha Umeme, vituo vya kuzalisha Gesi ghafi au asilia, Miundombinu ya kitaifa kama...
Back
Top Bottom