Habari zenu wana JF,
Natumaini mko salama bukheri wa afya tele.
Tumia mda wako kusoma huu ujumbe natumaini utakua msaada kwako lengo n kusaidiana na sio kujinufaisha elimu hii inatolewa bureee bila gharama yoyote.
Mahitajio ya chakula mbalimbali ususani nyama.mayai,samaki,mboga za majani n.k...
Unaweza fungua biashara wrong location kwanini uendelee kukomaa na sehemu isiyosahihi tangu ufungue biashara no profit kodi unalipa kutoka pesa ya mfukoni kwako mwaka mzima umekata biashara haisomeki why usijaribu sehemu nyingine...
Kama umefungua biashara ikaenda vyema competitor wakaja hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.