Rais Samia akitoa taarifa kwa Mkurugenzi mkuu wa WHO jijini Dodoma amesema kuwa mmonjwa mmoja amekutwa na ugonjwa huo kutoka mkoa wa Kagera na wengine 25 waliopimwa baada ya kushukiwa hawakukutwa nao.
Amesema serikali inaenelea kufaya uchunguzi zaidi.
https://www.youtube.com/watch?v=Atn0fKyOmu4
Huyu binti Ngwasi wengine wakiumuita Mwasi ni mbunge kupitia vijana na anatokea mkoa wa Mwanza. Pia ni mwanasheria ambaye aliwahi angaziwa ahapa JF kupitia uzi huu.
https://www.jamiiforums.com/threads/ngwasi-d-kamani-the-most-brilliant-lawyer-from-tanzania-i-have-ever-met.2183526/page-2
jana...
Wanaotajwa sana na vyombo vya habari,mitandao na makada wa CCM kuwa mmojawao atateuliwa kuwa makamu mwenyekiti wa CCM Taifa ni hawa hapa.
1.Paul Kimiti
2.Abdulah Bulembo
3.Mizengo Pinda
4.Dr Bashiru Ally Kakurwa
5.Yusuph Makamba
6.Frederick Sumaye
7..Dr Asharose Migiro
8.Anna Makinda
9.Steven...
Hata hivyo haijajulikana mara moja kama alimaanisha au alitaka kusema Tumaini lipo ndani ya CCM. bado hakuweza kupataikana kutoa ufafanuzi juu ya kauli yake hiyo
Alikuwa akiongea katika mkutano mmoja mkoani Kagera.
Hotuba yake nzima unaweza kuitazama katika link hapa chini...
kwa majibu wa taarifa iliyotolewea na msaidizi wa askofu samuel mchunguzi ni kuwa suala hilo nao wanashangaa na hawajui kama mtajwa ni padri wao la maana hawakuhusishwa au kuulizwa kabla ya kutoa taarifa hizo.
mtazame kwa mjibu wa millardayo
https://www.youtube.com/watch?v=Wo0HElBQcTs
Update.
Matokeo yalitangazwa usku. Hata hivyo tulipeleka live streaming. Wenje alitangazwa mshindi. Kwa mjibu wa msimamizi hakuna kura iliyoharibika kati ya wapiga kura 72.
Unaweza kutazama hapa
https://www.youtube.com/live/mVv2HX9_cSM?si=epq5lcKJWCW9ZQPC
UPDATE: Saa 4:04PM
Breaking News:
John Pambalu na timu ya watu wengine kama saba hivi wametoka katika ukumbi wa mkutano na kuondoka. tumejaribu kumuomba aongee kilichotokea katika ukumbi huo amesema hayuko tayari kusema lolote. ndani ya ukumbi mkutano unaendelea na huyu mgombea ashaondoka jumla...
UPDATE: saa 3:07PM
Waandishi wa habari wameombwa kutokwenda live na kutoka ukumbini kwa muda. kwa sababu ya kinachoelezwa kuwa wana mambo fulani ya ndani ambayo hayapaswi kwenda public. hivyo tumesitisha live streaming na kutoka hadi hapo baadaye. tunaendelea kuwepo hapa nje kujua hatma ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.