Mkuu ufugaji wangu ni wa kisasa na nimefuga kwa kuzingatia kila kitu, kwa hiyo nimejarbu kupiga hesabu nikiuza kwa hiyo bei ndio ntarudisha pesa yangu.
Wa mbali unaletewa usafir upo, pia haya mayai huuzi kama ya kisasa, utauza kwa bei ya mayi ya kienyeji lakini kwa bei pungufu kidogo.
Karbu tukuhudumie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.