Bwana njaa ww ni fala tu. Magufuli alitaka kummua Lissu. Hicho kitweet wala sio chake ni wasaidizi wake wakizuga. Kaa na nja yako ya mpka kichwani
Magufuli was a devil. period!
Hivyo ni vitu, yeyote yule anaweza fanya. kwani ndio zahanati za kwanza nchini? Utu kwanza, hata tembo anaweza kunya jivi kubwa ukaliita flyover. Anyway, poleni sana washirika wa uovu.
Yeye yuko kaburini. Angekuwa anatenda haki, kwa yote aliyokuwa anafanya angekuwa mtu wa maana sana. Kwa tuliyopitia, tunashindwa kumtafautisha na shetani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.