Recent content by Tzgreatthinker

  1. T

    Naomba ushauri wa kibiashara nina milioni moja

    Habarini za jioni ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 22 nimesoma mpaka elimu ya chuo ila sijapata kazi nimejichanga kwa sasa nina kiasi cha milioni moja naombeni ushauri wa kibiashara maana nimechoka kuwaza peke yangu. NAOMBA KUWASILISHA
Back
Top Bottom