Recent content by Tyalambu

  1. T

    Naomba msaada wa tatizo la kusikia joto na mdomo kuwa mchungu

    Aliniambia lipo katika viwango kwa kawaida ndhani kama 34 au 36 cna kumbukumbu nzuri sanaa
  2. T

    Naomba msaada wa tatizo la kusikia joto na mdomo kuwa mchungu

    Habari wadau? Nina tatizo la mwili wangu kuwa na joto muda wote na mate yanakuwa ya uchungu na hilo joto inafikia kipindi mpaka mwili unaniwaka sana moto! Nilipima kipimo cha full blood picture nikaambiwa niko fresh! ila nikamuambia Doctor unaniambia niko fresh ila najisikia joto ambalo siyo...
  3. T

    Account ya rafiki yangu imekuwa Banned nini tatizo wakuu??? mpaka inapelekea hivi??

    Msaada sasa Mkuu nini kifanyike ili iachiwe maana hata kosa halijulikani nn kimepelekea hivyo
  4. T

    Account ya rafiki yangu imekuwa Banned nini tatizo wakuu??? mpaka inapelekea hivi??

    ID 2 ya vipi Mkuu cjakuelewa naomba nieleweshe tafadhari
  5. T

    Account ya rafiki yangu imekuwa Banned nini tatizo wakuu??? mpaka inapelekea hivi??

    Mods ndo akina nani Mkuu?? Nielekeze vzur
  6. T

    Account ya rafiki yangu imekuwa Banned nini tatizo wakuu??? mpaka inapelekea hivi??

    Hapana wala hajishughulish na izo issue yeye akipost ni business tu nimemuhoji vzr sanaa
  7. T

    Account ya rafiki yangu imekuwa Banned nini tatizo wakuu??? mpaka inapelekea hivi??

    hujaelewa sehemu gani??? Inshort ni hivi "You have been banned. Your ban will be lifted on Nov 16, 2017."
  8. T

    SOFTWARE Data recovery

    App za bure zina limit ya size ya data ku recover nyingi sana utakuta mb100 sasa mm nakutana na mtu kafuta HDD yote au Partition yote unakuta si chini ya GB 30 au 40 kulingana na ukubwa wa data zake huwez ku recover kwa app za bure au unakuta umemaliza kupiga window alaf partition imejihide...
  9. T

    SOFTWARE Data recovery

    kuna watu wanafikiri data recovery ni kitu cha mchezo sana alaf kitu rahs app za bure haziwez kufanya kz kubwa mm na nunua app had dollar 70
  10. T

    SOFTWARE Data recovery

    asikudanganye mtu cha bure kina limit ya kufanya kazi tofauti na app ya kulipia kuna sehem utafeli tuu huwez ku recover GB 10 za Data kwa app ya bure hyo kitu haipo labda uwe umefuta mb 5 hzo data zako ndo unataka kuzirudisha lakn kama upo kikaz kama mm nakutana na mtu amefuta HDD yote au...
  11. T

    SOFTWARE Data recovery

    Si ume klem??? haya waambie wapakue hiyo app mm wala sijachukia wala kukuona mbaya safi sanaa pakueni recuva bure bure alaf mtu arudishe data alizopoteza kama nilivyoorodhesha hapo juu. ila cha kuzingatia hz ni kaz za watu usiish maisha ya kukalili nadhani wataalam wanaelewa hizi kazi ni za app...
  12. T

    SOFTWARE Data recovery

  13. T

    Lebo za Vifungashio vya Nafaka na Bidhaa nyingine

    unaprint pia au design tu??
Back
Top Bottom