Hivi sheria ya magazeti na mitandao ni kwa ajili ya watu fulani tu? habari ya tangu mwakajana magazeti ya Habari leo na Uhuru kwanini waje kurudia wiki hii?
Abdul Kambaya kasambaza ujumbe huu hapa chini
"Nimeona mara nyingi Ben Saanane akimsakama Profesa Lipumba na hao ndio waliotengeneza Propaganda dhidi ya Profesa Lipumba kwenye mitandao ya kijamii ikadakwa na vyombo vingine vya habari akishirikiana na maswahiba wake wakuu Julius Mtatiro na...
Madiwani wawili wa chama cha demakrasia na maendeleo (Chadema), wanahojiwa na Polisi mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma zinazoangukia katika makosa ya jinai.
Mmoja wa Madiwani hao kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, anahojiwa kwa tuhuma za kutishia kumuua kwa maneno, mbunge wa Jimbo hilo...
Mbunge anampiga vita na anafanya kila jitihada asipitishwe na vikao vya juu. Ben Saanane anamuunga Mkono Silayo.Selasini alimuunga Mkono mwingine.Ni vita kali na siasa za 2010
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.