Hmmmh, apo kumpata mwengine kibarua kipo, pengine kama alivosema turudie tiba kivingine na atawaita wataalamu wenziwe wasaidiane. Huenda tukatoboa au waonaje? Nazani ukinifatalia utaona nimeomba usaidizi siku nyingi hapa ila daah sikuwahi fanikiwa sehemu nyingi nilizoelekezwa ila nafuu nilipata...
Na upande wa babu atakuwa yupo sahihi kitiba? Sababu pia yeye alipoona hayo matukio kanambia nimelogwa na machawi ya waruka usiku pamoja na wa vitabu. Kwaio kasema tutarudia tiba hio ila kivingine Kwa mbinu nyengine akisaidiwa na wataalamu wenziwe. Afu kumbuka sehemu zingine nimewahi fata tibu...
Habar za humu, namimi naombeni wajuzi mnifafanunulie yalonikumba nikiwa kwenye tiba, Asanteni.
Iko hiv niliwahi kuenda tiba Kwa babu ya kufanyiwa pinduzi na kurudisha machawi na hasad. Cha kwanza nikiwa njiani karibia kufika kijijini kwa babu, haice niliopanda ilipata pancha kwenye rafrodi...
Yaani mlininyima konekshen ?, Unamfata mtu inbox anakuzingua tu. 😃lakini mm ni nani 🤔 Nilipanga safari Nikatua sumbawanga mzima mzima. Ngoja nitawaletea bonge la mirejesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.