Recent content by Tumabby

  1. T

    PreGE2025 NCCR Mageuzi wasema hawapo tayari kuunganisha nguvu na chama chochote cha upinzani

    Chama cha NCCR Mageuzi kimesema hakitashirikiana na chama chochote cha siasa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kutokana na maumivu walioyapata uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 walipojiunga na ukawa. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho Ambari Haji Hamisi wakati akizungumza na waandishi...
Back
Top Bottom