Recent content by Tujitibu kisunna

  1. Tujitibu kisunna

    Ondokana na dish, pata slim chip yenye chanel zaidi ya 200 bureee

    Kuna vitu cjaelewa malipo kwa mwez n sh ngap au ukishalipia ndo bas??!!! Af me n mpenz wa islamic channelz..... Zpo au n Emanuel tu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Tujitibu kisunna

    Mafuta ya hurriya

    Noh s kaz yke haya n special For lovemaking only... Yan kupendzesha muinjoy zaid Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Tujitibu kisunna

    Mafuta ya hurriya

    Bei n 15000 kwa chupa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Tujitibu kisunna

    Naweka bondi sim

    Kwa mfano ukashndwa kulipa io hela thaman ya cm hailingan na pesa..... Yan utakuwa umemuuzia cm io kwa lak 2.5 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Tujitibu kisunna

    Mafuta ya hurriya

    Huu n mzgo mpya wa mafuta ya hurriya..... Mafuta ya asili ya hurriya n mafuta asili yalotengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu asili 1.Hutumika kwa massage...... 2.Husaidia wakina dada weny tatzo lá ukavu ukeni kwa kupakaa kwa mda wa mwez.. Tatzo huondka pasna kujirudia 3.Ni mazur kwa...
  6. Tujitibu kisunna

    Samsung s4

    Ntaweka msijal nipo na job now... Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Tujitibu kisunna

    Samsung s4

    Niko ukonga mombasa dar Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Tujitibu kisunna

    Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

    Kipi kinachomfanya awe T. B. S..wats special abt her Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Tujitibu kisunna

    Wahitaji wa Kuni

    Pamoja mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Tujitibu kisunna

    Wahitaji wa Kuni

    Hio utanunua stoo kwetu tu au ilokarbu na wew sidhan utahtaj za msitun....... N nyng mno Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Tujitibu kisunna

    Wahitaji wa Kuni

    Pengne hamjaelewa vizur... Inapiga marufuku kwa wale wasokuwa na lesen ya uvunaji miti..... Ingkuwa kila mtu anapigwa marufuku.. Hv sasa tuko kweny mchakato wa kurenew iz lesen zetu ambazo hutolewa na Maliasili na mda wowote ztatoka... Vp wakataze na huk wao ndo wanatoa...... Katazo n kwa...
  12. Tujitibu kisunna

    Wahitaji wa Kuni

    Kuni hizi n za kibiashara si kupikia... Hii inawalenga wafanyabiashara wa kuni wa rejareja au ht mashule Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Tujitibu kisunna

    Wahitaji wa Kuni

    Bei itategemea wew unahtaj toka wap na unahtaj kitu gan kivp?? Ka wew n muuzaji wa rejareja wa kuni mtaani (kwasasa ndio biashara yenye faida inato run hapa Dar na kwngneko) tutauletea je unahtaj kias gan fuso dogo kukufkshia mpka hapo itagharimu lak 9 na na itakuwa takbrina kuni 1600 ukiuza...
  14. Tujitibu kisunna

    Wahitaji wa Kuni

    Serikali imekataza watu kuvuna miti illegal ila sisi tuna lesen ya uvunaji miti inayotolewa na Maliasili vi-a Tanzania forest servicé (TFS) na lesen hizi hutolewa kila mwaka kwa wanaoitaji miti ya kibiashara na tunapewa idad maalum ya kuvuna kwa mwaka Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Tujitibu kisunna

    Wahitaji wa Kuni

    Tunauza na kusafirisha kuni toka kijiji cha mafumbi pwan had Dar...... Ikiwa wewe n muuzaji wa rejareja tutakuletea mzgo had kwako au kukukodsha lesen yetu ya uvunaji miti ikiwa huna....... Tunawakarbsha shule... Vyuo na sehemu mbalimbali 0712770729 au 0685580057 Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom