Recent content by Trust ME

  1. T

    Diploma ya CO na diploma ya PHARMACY?

    mkuu kwani pharmacy unaajiriwa direct serikalini?
  2. T

    Diploma ya CO na diploma ya PHARMACY?

    kapige clinical medicine mkuu!
  3. T

    Diploma ya CO na diploma ya PHARMACY?

    Naombeni mtizamo wenu ndugu zangu
  4. T

    Diploma ya CO na diploma ya PHARMACY?

    Wakuu hapa sasa kichwa kinaniuma kisawasawa cause wizara wamenizngua ! Je ni ipi kati ya hizo faculty yenye ugumu wa kusoma na na kuhusu suala la kujiajiri na kuajiriwa ipi yenye wigo mpana. Natannguliza shukrani wakuu.
  5. T

    Breaking news:afya watoa post

    sa ndo tusubiri hadi kesho au?
  6. T

    Breaking news:afya watoa post

    Uwiiiiii jamani watatoa lini sasa
  7. T

    Wakuu! Nipeni moyo niende private au niendelee kusubiri wizara ya Afya??

    Hey all great thinkers! Wana jf kutokana na wizara ya Afya kuzichelewesha post za selection naombeni mnishauri tu niende private au nisubiri kwa kuwa hawa jamaa cjui attention yao iko wapi mpaka muda huu ilhali kunatetesi kuwa wanaingiza usanii na...
  8. T

    KAM COLLEGE !! ni kweli juu ya hili??

    ina maana Kam college hakijasajiliwa na Nacte ??
  9. T

    Je waweza mpa mimba mwanamke bila kuiondoa bikra yake !

    Wakuu habari zenu! Kuna dent mmoja ambaye nimedate naye ila alinisumbua sana wakati wa ku do nasidhani kama nilifanikiwa kuvunja bikra yake kwa kuwa alikuwa akijibana mno. Je inawezekana akashka mimba na huku bikra yake sijafanikiwa kuiondoa? Wakuu...
Back
Top Bottom