Oya wadau ivi KmC atakoswa goli kweli leo maana point yake tu rollover tosha kabisa...
NB: Kwenye mechi 9 za mwisho za ligi kuu, yanga karuhusu goli 2 tu na amefungwa na azam tu.
Kujua kama ni wa kweli au waongo ni hadi kupata mtu aliewahi kupata huduma zao.. Tuache ile nadharia ya wote ni waongo na matapeli. Hapo kama unaweza kununua upate ndo tutajua kama wakweli au matapeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.