Ajira mpya wa Halmashauri ya wilaya ya Same hadi leo hawajalipwa fedha zao za kujikimu, wengine wana mwaka, wengine wanakaribia mwaka lakini hakuna malipo ya fedha zao kujikimu na ni haki yao hata TAMISEMI walishaelekeza lakini bado waajiriwa wapya wananyimwa haki zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.