Recent content by Triad

  1. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Jamani Naomba Matokeo ya Chalinze, mpambano huko pia ni mkali, Ridhiwani Kikwete, Ramadhani Maneno, Madega ...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Tunaitaka TAKUKURU kufanya uchunguzi, kwanini watia nia Ubunge tunatozwa laki nne hadi sita?

    Mtoa mada anabezwa lakini taarifa anayotoa ni nyeti na wahusika inabidi wafuatilie. Mtoa mada unaweza kuongeza nyama kwa kuongeza taarifa za ziada za Wilaya na Jimbo ili wahusika wakusaidie.
  3. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Rashid Mwinshehe (Kingwendu) achukua fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Ilala

    Japokuwa anatumia haki yake kikatiba lakini sasa tunaikosea heshima nafasi ya uwakilishi wa wananchi Bungeni . Haiwezekani kila mtu hata ambao hawana hekima za kutosha kuongoza jamii nao wanajiona wanafaa kuwa wabunge.
  4. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

    Membe ameshakuwa kiporo tena kilichochacha hana mpya tena. Akumbushwe tu msemo wa wahenga kuwa wakati ukuta.
  5. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Askofu Gwajima ameonesha njia, wanaompinga hawana hoja

    Ni haki yake kikatiba apewe nafasi. Jambo jema kwake ni kwamba, anagombe ubunge kupitia chama cha mapinduzi chama ambacho kinajipambanua kwa kutetea wanyonge.
Back
Top Bottom