Bandeji ambazo zinaweza kutambua jinsi kidonda kinavyopona na kutuma ujumbe kwa daktari itafanyiwa majaribio katika kipindi cha miezi 12 ijayo.
Bandeji hizo zitatumia teknolojia ya 5G kufuatilia na kutambua ni matibabu ya aina gani yanahitajika kwa mgonjwa.
Majaribio hayo yanafanywa na taasisi...
Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama cha Wananchi (CUF) leo limemvua, Maalim Seif nafasi ya Ukatibu Mkuu wa Chama hicho na nafasi hiyo kukaimiwa Bi. Magdalena Hamis Sakaya.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Mwenyekiti wa CUF Taifa, anayetambulika na Msajili wa Vyama vya Siasa...
Mwezi April Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania litaanza kwa vikao vya Bajeti ya mwaka fedha 2017/2018 ambapo wabunge watapitisha bajeti kuu ya serikali.
Leo March 24 2017 CHADEMA kupitia Naibu Katibu mkuu wake ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kibamba, John Mnyika amezungumza na waandishi...
pole sana dada angu,
suluhisho la tatizo lako lipo kama utaamini na utakuwa tayari,
kuna hiki kimiminika kinaitwa Trevo, kazi yake kubwa ni kuondoa sumu mwlilini na kujenga seli za mwili,hivyo basi kutokana na sumu hiyo iliyoingia ndani ya mwili wako baada ya kutumia madawa na pia tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.